DKT SAMIA NA MKUU WA KANISA LA KKKT ASKOFU DKT. MALASUSA, KANISANI

 

DKT SAMIA NA MKUU WA KANISA LA KKKT ASKOFU DKT. MALASUSA, KANISANI

DKT SAMIA NA MKUU WA KANISA LA KKKT ASKOFU DKT. MALASUSA, KANISANI

DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzaia Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshiriki ibada maalum ya kumuingiza kazini Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa, ibada iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Azania Front Jijini Dar es Salaam tarehe 21 Januari, 2024.

Pichani ni  Dkt Samia Suluhu Hassan akimpa mkono wa pongezi Mkuu wa Kanisa la KKKT Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa mara baada ya ibada hiyo  ya kuingizwa kazini 

KUMBUKA:-BIMKUBWA YUPO KWA AJILI YA WANANCHI WOTE, WAKATI WOWOTE