TSH BIL 20.6 ZINAJENGA KIWANJA CHA NDEGE MIKUMI

 

TSH BIL 20.6 ZINAJENGA KIWANJA CHA NDEGE MIKUMI

TSH BIL 20.6 ZINAJENGA KIWANJA CHA NDEGE MIKUMI

MOROGORO
Katika jitihada za serikali za  kuimarisha sekta ya utalii nchini imetoa kiasi cha shilingi bilioni 20.6 kwa ajili ya ujenzi wa kiwanja cha ndege Kikoboga katika Hifadhi ya Taifa Mikumi Mkoani Morogoro.
Ujenzi huo upo katika hatua mbalimbali za utekelezaji.