TSH MIL 89+ ZAWAPA KICHEKO WANA-KOROGWE

 

TSH MIL 89+ ZAWAPA KICHEKO WANA-KOROGWE

TSH MIL 89+ ZAWAPA KICHEKO WANA-KOROGWE

TANGA
Kiasi cha Shilingi Milioni Themanini na Tisa na Laki Nne  zimewapa kicheko wazazi, walezi na wanafunzi wa kata ya Mtonga kwa kujengewa Vyumba vitatu  vya Madarasa  na Matundu  nane ya Vyoo katika Shule ya Sekondari Semkiwa iliyopo kata ya Mtonga Mjini Korogwe Mkoani Tanga.
Fedha zote za utekelezaji wa Mradi huo zimetolewa na Serikali kwa lengo la Uboreshaji wa Sekta ya Elimu hapa nchini.