TSH BIL 82.635 ZABORESHA MIUNDOMBINU NJOMBE

 

TSH BIL 82.635 ZABORESHA MIUNDOMBINU NJOMBE

TSH BIL 82.635 ZABORESHA MIUNDOMBINU NJOMBE

NJOMBE 
Serikali imetoa kiasi cha shilingi bilioni 82.635 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara  ya Isyonje – Kikondo – Makete Km 96.2 (Sehemu ya Kitulo – Iniho Km 36.3) na Ujenzi wa Mzani wa Igagala ambapo kazi zote hizo zipo katika hatua mbalimbali ya utekelezaji ambapo ujenzi wake utakamilika Julai 11, 2026.