TSH BIL32+ ZAIMARISHA MIUNDOMBINU YA ELIMU DAR

 

TSH BIL32+ ZAIMARISHA  MIUNDOMBINU  YA ELIMU DAR

TSH BIL32+ ZAIMARISHA  MIUNDOMBINU  YA ELIMU DAR

DAR ES SALAAM
Zaidi ya Shilingi bilioni 32 zimetolewa na Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwaajili ya kutekeleza miradi mbalimbali na ukarabati wa miundombinu ya elimu ya sekondari  Jijini Dar es Salaam.
Katika fedha hizo kiasi cha shilingi bilioni  4.6 kinatumika kwenye  ujenzi wa Shule ya Sekondari Kitunda ambako kunajengwa darasa lenye ghorofa  na la kisasa, madarasa 16, maktaba ya kisasa, maabara nne na ofisi 12.